UNAWEZA KUJIUNGA NASI HAPA MOJA KWA MOJA ..Bofya HAPA ULIKE PAGE YETU!..
Aidha kwa sasa ambasador imeelekeza makucha yake katika mchezo wa kesho dhidi ya Home boys ya Isaka katika mwendelezo wa ligi hiyo
Msemaji wa Ambasador Ndalike Said Sonda "Kocha Mkongwe "alisema timu hiyo imejipanga kunyakuwa ubingwa wa mkoa ili kushiriki michuano mingine ya taifa na hatimaye kupanda ligi daraja la kwanza.
www.ndalike.blogspot.com
LIKE PAGE YETU HAPA CHINI
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Facebook Plugin by NDALIKE SONDA MEDIA
Post a Comment