0

UNAWEZA KUJIUNGA NASI HAPA MOJA KWA MOJA ..Bofya HAPA ULIKE PAGE YETU!..

Da Jose RASI FM 103.7 Dodoma's photo.



Katibu wa uenezi na msemaji wa CCM Bwana Nape Nnauye amesema Kamati kuu Bado inaendelea na Vikao vyake usiku huu na mara baada ya kikao kuisha wata tangaza matokeo ya 5BORA

Mara baada ya kutangazwa yatapelekwa Halmashauri kuu ya Taifa (NEC) Kuchujwa tena ili Ipatikane 3BORA,ambapo Halmashauri kuu hiyo watakutana kesho asbh majira ya saa nne,

 Na mara baada ya hapo hiyo 3BORA itapelekwa Mkutano mkuu wa Taifa ambao hao ndo Daraja la mwisho kumchomoa mmoja atakayepata nafasi ya kupeperusha bendera ya  CHAMA CHA MAPINDUZI  CCM KWA MWAKA 2015.

Nitaendelea kukuhabarisha ......Nikutakie Usiku mwema.....endelea kufuatilia kwenye ukurasa huu.....

www.ndalike.blogspot.com 

LIKE PAGE YETU HAPA CHINI

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Facebook Plugin by NDALIKE SONDA MEDIA

Post a Comment

 
Top