UNAWEZA KUJIUNGA NASI HAPA MOJA KWA MOJA ..Bofya HAPA ULIKE PAGE YETU!..
Mchezo huo ambao ulikuwa uchezwe kesho jumapili katika uwanja wa shule ya Msingi Kagongwa umeahirisha na sasa utapangwa tena wiki ijayo ambapo utachezwa katka uwanja huo na fedha zitakazopatikana zitapelekwa kwa waathirika wa mvua ya mawe kata ya Mwakata.
Akizungumza na Blogu hii Naohadha wa Kagongwa united Gabriel Lucas alisema timu hiyo imepokea kwa masikitiko makubwa msiba huo ambapo mazishi yatafanyika kesho katika makaburi ya waasilamu Kagongwa na hivyo mamshabiki kuendelea kuwa na subira juu ya mchezo huo.
Kwa uapende wake Msemaji wa Ambasador Fc Ndalike Sonda alisema baada ya kutokea kwa msiba huo, wanasubiri raitba ya mashindano ya ligi daraja la kwanza hatua ya sita bora ili kupanga mchezo huo kufanyika.
"Kwa kweli kwanza tumepokea kwa masikitiko makubvwa msiba huu, ila tunaomba tu mashabiki muendelee kusubiri bila shaka ratiba ya mkoa itakapotoka tutawafahamisha ili mjie kuchangia michango ambayo tutawapelekea wenzetu wa Mwakata" alisema Kocha Mkoangwe
www.ndalike.blogspot.com
LIKE PAGE YETU HAPA CHINI
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Facebook Plugin by NDALIKE SONDA MEDIA
Post a Comment